MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBARA AKABIDHI VIFAA ZAHANATI YA KIMARA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBARA AKABIDHI VIFAA ZAHANATI YA KIMARA

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ally Iddi, akimkabidhi vifaa vya huduma na tiba, Mganga Mfawidhi wa Zahanati ya Kata ya Kimara, Dkt. Alphoncina Mbinda, wakati wa hafla maalum iliyofanyika jana, kwenye Zahanati hiyo, Kimara, Dar es Salaam. Vifaa hivyo vyenye thamani ya sh. milioni 5.1, vimepatikana kutokana na michango ya wanachama na viongozi wa Jumuia ya Wazazi Tanzania. Wengine katika picha ni baadhi ya viongozi wa Jumuia ya Wazazi, Katibu Mkuu Hamis Dadi (kulia) Katibu Wilaya ya Kinondoni, Stanley Mkandawile, (wapili kulia), na katikati ya Makamu na Mganga Mfawidhi ni Kaimu Mwenyekiti wa Jumuia hiyo, Dogo Mabrouk.
 Wana-CCM Kata ya Kimara wakishangilia wakati wa hafla hiyo.
 Wana-CCM na wananchi wakisebeneka kucheza muziki wa taarab, kushangilia makabidhiano ya vifaa hivyo vya huduma na tiba kwa Zahanati yao.
Baadhi ya wanachama wa Jumuia ya Wazazi waliohudhuria sherehe hiyo. Picha na Bashir Nkoromo

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages