Mafunzo ya Kutengeneza Tovuti Kwa Kutumia Joomla kwa Kiswahili - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Mafunzo ya Kutengeneza Tovuti Kwa Kutumia Joomla kwa Kiswahili


Katika dunia ya leo, kuwa na website sio kitu cha kuchagua tena bali ni cha lazima, ila kuwa website inayofanya kazi kwa gharama nafuu ni chaguo madhubuti. Katika kulitambua hili, timu nzima ya AfroIT.com inakuletea mafundisho ya kutengeneza website kwa kutumia award winning open source Joomla bila gharama yoyote. Mafunzo haya yenye module 17 hadi sasa yameshafikia module ya  kumi.

 Mafunzo haya yanayotolewa kwa kiswahili tena kwa mtindo wenye uhalisia wa Mtanzania, yanawafaa watu wote kuanzia mtengeneza tovuti, mmiliki wa blog nk, hivyo wakati ni huu sasa.

 Unaweza kuangalia mafunzo haya kwenye Youtube Channel yetu au moja kwa moja toka kwenye tovuti yetu ya AfroIT.com. Pia unaweza kudownload na kuweka kwenye simu, kompyuta, iPad nk  na ukawa unapata mdidi kila ulipo.

 Pia usisite kutumia Forums kwa ajili ya majadiliano pindi unapopata utata kwenye mafunzo na kuhitaji msaada.

The Team

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages