Bajeti ya Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia yapitishwa kwa mwaka 2012/13 - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Bajeti ya Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia yapitishwa kwa mwaka 2012/13

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mnyaa Mbalawa, akizungumza na Mkurugenzi wa Kitengo cha Mawasiliano cha Kampuni ya Simu za mkononi Airtel Tanzania, Beatrice Singano nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma, muda mfupi baada ya kupitishwa kwa Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka 2012/13
Naibu Waziri Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba (kushoto) akiwa na Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, Innocent Mungy nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma, muda mfupi baada ya kupitishwa kwa Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka 2012/13
Naibu Waziri, Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba akipongezwa na Mkurugenzi wa Kitengo cha Mawasiliano cha Kampuni ya Simu za mkononi Airtel Tanzania, Beatrice Singano nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma muda mfupi baada ya kupitishwa kwa Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka 2012/13

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages