

Aliyekua
Mbunge wa Arusha Mjini(CHADEMA)Mheshimiwa Godbles Lema Akiunguruma leo
kwenye mkututano wa hadhara Manzese jijini Dar es Salaam

Mwenyekiti wa Umoja wa Baraza la Vijana wa CHADEMA John Henche(kushoto)akifwatilia kwa makini mkutano wa Chadema Manzese leo

Mkuu wa Kurugenzi ya Ulinzi na Usalama ya Chadema WilfredLwakatare(Kulia)akifwatilia kwa makini mkutano wa chadema leo



Sehemu ya Umati Mkubwa wa Wananchi
waliojitokeza kwenye mkutano wa hadhara wa chadema Manzese jijini Dar es
Salaam Leo.Picha na Kurugenzi Ya Habari-CHADEMA





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)