MKUTANO WA JUMUIYA YA WASTAAFU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA,ZANZIBAR - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MKUTANO WA JUMUIYA YA WASTAAFU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA,ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohd Shein akisalimiana na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wastaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Zanzibar Mohd Ali Mwalim huko katika mkutano Mkuu wa Wastaafu hao Bwawani Zanzibar.
Rais wa Zanzibar  na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohd Shein akiwahutubia wastaafu wa Jumuiya ya  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Zanzibar  huko katika mkutano Mkuu wa Wastaafu hao Bwawani Zanzibar.
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohd Shein wakatikati akiwa katika Picha ya pamoja na Viongozi wa Jumuiya ya Wastaafu wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Zanzibar  huko katika mkutano wa Jumuiya hio Bwawani Mjini Zanzibar.
Miongoni mwa Wastaafu wa Jumuiya ya Muungano wa Tanzania wakimsikiliza Rais wa Zanzibar hayupo pichani wakati alipokutana nao huko Bwawani Mjini Zanzibar.

1 comment:

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages