Makamu wa Rais Dk.Gharib Bilal Awasili Salama Nchini Brazil kushiriki Mkutano wa Rio +20 - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Makamu wa Rais Dk.Gharib Bilal Awasili Salama Nchini Brazil kushiriki Mkutano wa Rio +20

  Makamu wa Rais Dk Gharib Bilal
--
Na Happiness Katabazi, Brazil
MAKAMU wa rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Mohamed Grarib Bilal leo mchana yeye pamoja na msafara wake uliwasili salama jijini Rio de Jeneiro nchini Brazil tayari kwaajili  kwaajili ya kuungana na viongozi wa matiafa mengine ulimwengu kuudhulia mkutano wa mazingira duniani unaotambulika kwa jina la Rio+20.
 
Dk.Bilal ambaye amefuatana Waziri wa ofisi yake anashughulikia mazingira, Tereva Uvisa,Mshauri wa rais Jakaya Kikwete mwandamizi katika masuala ya kidiplomasia, Balozi Liberata Mulamula na maofisa wengine waandamizi wa serikali walipokelewa jana na wenyeji wao ambao ni ubalozi wa Tanzania nchini hapa na serikali ya Brazil.
 
Tayari wakuu wa nchi mbalimbali wameishawasili jijini Rio de Jeneiro kwaajili ya kuudhulia mkutano huo wa kihistoaria mbao utaanza rasmi Juni 20-22 mwaka huu.Miongoni mwa ajenda kuu itakayo jadaliwa ni uharibu wa mazingira hususani wa ukataji ovyo wa misitu ambao mwisho wa siku karibu nchi nyingi hivi sasa zimejikuta zikikabiliwa na matito yatabia ya nchi.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages