Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idd Afungua Kambi Rasmi Ya Timu ya Soka ya Mkoa wa Kaskazini Unguja - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idd Afungua Kambi Rasmi Ya Timu ya Soka ya Mkoa wa Kaskazini Unguja

  Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiifunga rasmi Kambi ya Timu ya Soka ya Mkoa wa Kaskazini Unguja hapo katika Jengo la Kituo cha Huduma Rafiki Mahonda. Kulia Ni Mkewe Mama Asha Suleiman Iddi na Ameir Katibu wa CCM Wilaya na Kaskazini B. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa ZFA Wilaya ya Kaskazini “A” Khamis Kombo.
  Makamu wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi akikabidhi mchango wa Shilingi 700,000/- kwa Mkuu wa Msafara wa Timu ya Mkoa Kaskazini Unguja ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa ZFA Wilaya ya Kaskazini B Omar Ali Khamis. Mchango huo ni kwa ajili ya ununuzi wa Viatu kwa Timu ya Soka ya Vijana wa Mkoa huo watakaoshiriki Mashindano ya Copa Coca Cola Jijini Dar es salaam yanayptarajiwa kuanza Mwishoni mwa Wiki hii.
 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Wana soka wa Mkoa wa Kaskazini Unguja chini ya umri wa miaka 17 katika hafla ya kuifunga rasmi kambi yao hapo katika Jengo la kituo cha Huduma rafiki Mahonda Mkoa wa Kaskazini Unguja. Timu hiyo inatarajia kuwa miongoni mwa wana michezo watakaoshiriki kwenye mashindano ya Copa Coca Cola yatakayoanza Jijini Dara es salaa Mwishoni mwa Wiki hii

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages