WASHIRIKI WA REDDS MISS CHANG'OMBE HAO JIANDAE KUJUA NANI ATAIBUKA KIDEDEA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

WASHIRIKI WA REDDS MISS CHANG'OMBE HAO JIANDAE KUJUA NANI ATAIBUKA KIDEDEA

Mashindano ya kuwania taji la Redds Miss Tanzania 2012 yanazidi kupamba moto kwa ngazi za vitongoji nchini kote huku vitongoji kadhaa vikiwa tayari vimesha fanya mashindano yake na vingine vikiendelea na maandalizi. 

Wakati wiki hii Mashindano hayo yakitraji kufanyika katika Vitongoji vya Kurasini Jijini Dar es Salaam tayari Wanyange wanaowania taji la Redds Miss Cha'gombe 2012  nao wapo katika mazoezi tayari kwa fainali zao zitakazo fanyika mapema mwezi ujao.

Pichani ni warembo wa Chan'gombe wakiwa katika picha ya pamoja iliyopigwa muda mfupi baada ya kumaliza mazoezi yao Mei 22,2012  katika ukumbi wa TCC Chan'gombe jijini Dar es Salaam.
Warembo hao 11 wanataraji kupanda jukwaani mapema mwezi ujao kuwania taji hilo na kuwania tiketi ya kushiriki Miss Temeke 2012. 

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages