RAISI MSTAAFU BENJAMINI MKAPA ATINGA KWA PILATO KISUTU KWAAJILI YA KUTOA USHAHIDI KATIKA KESI YA PROF MAHALU - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

RAISI MSTAAFU BENJAMINI MKAPA ATINGA KWA PILATO KISUTU KWAAJILI YA KUTOA USHAHIDI KATIKA KESI YA PROF MAHALU



Mkapa akiingia Mahakama ya Kisutu kutoa ushahidi.

Akisindikizwa kuelekea kizimbani.

Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa akitoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo, kutoa ushahidi wake katika kesi inayomkabili aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Profesa  Costa Mahalu,  anayekabiliwa na shtaka la uhujumu uchumi.

Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa akiondoka Mahakama hapo baada ya kutoa ushahidi wake.
Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, leo amepanda kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kuhojiwa na mawakili wa serikali na wanaomtetea aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Italy, Costa Mahalu, kwenye kesi ya ufujaji fedha katika ununuzi wa jengo la ubalozi inayomkabili balozi huyo.Jengo hilo lilinunuliwa kwa shilingi, bilioni 2.9.Source Global Publisher Tz NA FULL SHANGWE BLOGU

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages