TAFRIJA YA KUWAPONGEZA UDOM SOCIAL KWA KUWA MABINGWA WA LIGI YA KIKAPU ILIYOPEWA JINA LA DODOMA BASKETBALL DEVELOPMENT LEAGUE 2012 - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

TAFRIJA YA KUWAPONGEZA UDOM SOCIAL KWA KUWA MABINGWA WA LIGI YA KIKAPU ILIYOPEWA JINA LA DODOMA BASKETBALL DEVELOPMENT LEAGUE 2012

Hili ndio Kombe walilokabidhiwa Wachezaji wa Timu ya Mpira wa Kikapu ya UDOM SOCIAL mara baada ya Kuibuka washindi wa kuifunga Timu ya Mipango Katika Fainali ya Ligi ya MPira wa Kikapu Mkoani Dodoma jana
Baadhi ya Wachezaji na Mashabiki wakiwa katika Meza kubwa kwaajili ya kupata chakula cha jioni kwa pamoja ikiwa kama ishara ya upendo na ushirikiano mara baada ya kuibuka washindi.
 Mmoja wa wachezaji akikabidhiwa Dollar 20 za marekani kama zawadi kwa kusaidia timu yake kuweza kuchukua Ubingwa wa ligi hiyo iliyomalizika jana Na UDOM SOCIAL kuibuka washindi 
 Baadhi ya wanafunzi na wapenda michezo wakiwa katika tafrija fupi ya kuwapongeza wachezaji wa timu ya Mpira wa Kikapu Ya UDOM SOCIAL
 Baadhi ya Wachezaji wakiwa katika Picha Na Kombe lao hapo jana katika tafrija fupi ya kuwapongeza kwa kuleta ushindi UDOM
 Kapteni Wa Timu ya UDOM SOCIAL Fred akiwa katika Picha ya pamoja na mchezaji mwenzake Pascal Nsana na kombe katika tafrija fupi ya kuwapongeza iliyofanyika katika cafteria ya breakpoint hapo jana
 Mmiliki wa Mtandao wa Lukaza Blog Mh Josephat Lukaza (Wa Pili Kushoto) akiwa katika Picha ya Pamoja na Baadhi ya wachezaji na mashabiki wa mpira wa kikapu katika tafriaj fupi ya kuwapongeza wachezaji wa UDOM SOCIAL kuibuka washindi katika ligi hiyo
Baadhi ya Wadau wakiwa katika Meza kuu tayari kwa kusubiria msosi huku wakiendelea kupata vinywaji katika tafrija fupi ya Kuwapongeza wachezaji hao kwa kushinda katika ligi ya mpira wa kikapu iliyomalizika jana na hatimaye UDOM SOCIAL kuibuka Mabingwa.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages