Mwanamke
Mkazi wa Rufiji, Khadija Boma (40), kifanyiwa tiba na Muuguzi
Geraidina Amani juzi katika wodi 2 ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa
Muhimbili (MOI), Dar es Salaam, baada ya kujeruhiwa mguu alipokuwa
akipambana na Mamba katika Mto Kipoka juzi, Rufiji. Mama huyo ambaye
amekatwa mguu wa kulia aliong'atwa na Mamba, kabla ya kuokolewa na
wananchi, alipambana naye huku akiwa na mtoto mgongoni.Picha na Khamis
Mussa
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
Mwanamke Mkazi wa Rufiji Ajeruhiwa Mguu Alipokua Akipamban na Mamba
Mwanamke Mkazi wa Rufiji Ajeruhiwa Mguu Alipokua Akipamban na Mamba
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)