Mbunge wa Bumbuli(CCM)January Makamba Apeleka Umeme Kata ya Mgwashi Kwa Mara ya Kwanza - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Mbunge wa Bumbuli(CCM)January Makamba Apeleka Umeme Kata ya Mgwashi Kwa Mara ya Kwanza

  Mbunge wa bumbuli(CCM)na Naibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia Mh January Makamba akihutubia wananchi wake(wapiga kura)kata ya Mgwashi Jimboni kwake Bumbuli,Kwa mara ya kwanza kata hii imepata umeme. Mradi wa maji wa shilingi bilioni moja nukta sita nao karibu utaanza utekelezaji wake.
  Mbunge wa bumbuli(CCM)na Naibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia Mh January Makamba akilakiwa na wapiga kura wake muda mfupi baada ya kumaliza mkutano wake kata ya mgwashi Bumbuli Mei 28,2012,Kata ya Mgwashi, Bumbuli Mei 28, 2012.Kwa mara ya kwanza kata hii imepata umeme. Mradi wa maji wa shilingi bilioni moja nukta sita nao karibu utaanza utekelezaji wake.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages