MAWAZIRI WA JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA WAAPA ASUBUHI HII IKULU - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MAWAZIRI WA JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA WAAPA ASUBUHI HII IKULU

 Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika viwanja vya Ikulu asubuhi hii ili kuanza kazi ya kuapisha mawaziri wapya aliowateua hivi karibuni Fullshangweblog ikiwa katika viwanja vya Ikulu inashuhudia kuapishwa huku kwa mawaziri na kukuletea moja kwa moja kutoka viwanja vya Ikulu jijini Dar es salaam.
 Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza na Katibu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue kabla ya kuanza kwa kuapiswa mawaziri hao.
 Dk. Harrison Mwakyembe akila kiapo kuwa waziri wa Uchukuzi mbele ya Rais Jakaya Kikwete kwenye viwanja vya Iku asubuhi hii.
 Shamsi Vuai Nahodha akila kiapo kuwa waziri wa Ulinzi mbele ya Rais Jakaya Kikwete.
Dk Husein Mwinyi akila kiapo kuwa Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii mbele ya Rais Jakaya Kikwete.
 Profesa Jumanne Maghembe akisaini kiapo mara baada ya kuapa kuwa waziri wa  maji na umwagiliaji
 Hawa Ghasia akila kiapo
 Mh. Mathias Chikawe waziri wa Sheria na Katiba.
Mh. George Mkuchika akipongezwa na Rasi mara Baada ya kula kiapo.Kwa Hisani ya Full Shangwe Blogu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages