MAMA SALMA AZINDUA 'OKOA MAISHA YA MAMA NA MTOTO' - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MAMA SALMA AZINDUA 'OKOA MAISHA YA MAMA NA MTOTO'

Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo Mama Salma Kikwete akifuatana na Waziri wa Afya Mheshimiwa Dr. Hussein Mwinyi (kushoto),na Mkurugenzi wa Amref Dr. Festus Lakko (kulia) wakiangalia machapisho mbalimbali yanayohusiana na afya ya mama na mtoto kutoka shirika la Amref wakati wa uzinduzi rasmi wa 'Okoa maisha ya mama na mtoto. Changia mafunzo ya wakunga', au, stand up for African women. Uzinduzi huo ulifanyika katika viwanja vya Mnazi mmoja tarehe 15.5.2012.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiangalia zawadi ya saa aliyopewa na uongozi wa Amref yenye ujumbe wa 'stand up for African women' mara baada ya kuzindua rasmi kampeni ya kuchangia mafunzo ya wakunga ili kuokoa maisha ya mama na mtoto barani Africa yaliyofanyika Mnazi mmoja jijini Dar tarehe 15.5.2012.
Mwenyekiti wa WAMA na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisaini katika kompyuta kuashiria uzinduzi rasmi wa kampeni ya 'Stand up for African women' inayoratibiwa na Shirika la Amref. Uzinduzi huo ulifanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam tarehe 15.5.2012. PICHA NA JOHN  LUKUWI 

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages