MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI CHAKULA CHA JIONI KATIKA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA MJINI BOTSWANA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI CHAKULA CHA JIONI KATIKA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA MJINI BOTSWANA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal na Mama Asha Bilal, wakiwasili  kwenye ukumbi wa tafrija ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na Rais wa Botswana Lt. General Seretse Khama, kwa viongozi wakuu wa Nchi za Afrika waliohudhuria mkutano wa siku mbili kuhusu maendeleo endelevu ya Bara la Afrika Nchini Gaborone Botswana, jana. 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal na mkewe Mama Asha Bilal, wakiwa kwenye tafrija iliyoandaliwa na Rais wa Botswana Lt. General Seretse Khama, kwa ajili ya viongozi wakuu wa Nchi za Afrika waliohudhuria mkutano kuhusu maendeleo endelevu kwa Bara la Afrika jana jioni.
 

Wasanii wa kikundi cha ngoma za utamaduni cha nchini Botswana wakitumbuiza kwenye hafla ya chkula cha jioni iliyoandaliwa maalum kwa wakuu wa nchi za Afrika waliohudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika kuhusu maendeleo endelevu ya Bara la Afrikamjini Gaborone Botswana.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages