KAMATI YA MISS TANZANIA YATEMBELEA MAZOEZI YA MISS KURASINI JIONI HII - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

KAMATI YA MISS TANZANIA YATEMBELEA MAZOEZI YA MISS KURASINI JIONI HII

Warembo wanaoshiriki katika shindano la Miss Kurasini wakimsikiliza Mkurugenzi wa kamati ya Miss Tanzania Hashim Lundega wakati wa mazoezi ya shindano la Miss Kurasini kwenye ukumbi wa Equator Grill leo jioni.
Mkurugenzi wa kamati ya Miss Tanzania Hashim Lundega akiongea na warembo wanaoshiriki katika shindano la Miss Kurasini hawapo pichani ,wakati wa mazoezi yao yanayofanyika kwenye ukumbi wa Equator Grill Mtoni kwa Azizi Ali jijini Dar es salaam, Shindano la kumsaka malkia wa kitongoji hicho linatarajiwa kufanyika siku yajumamosi katika ukumbi huohuo.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages