January Makamba Atembelea Vodacom - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

January Makamba Atembelea Vodacom

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia January Makamba akilakiwa na Mkuu wa Mahusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Joseline Kamuhanda. Makamba alitembelea makao makuu ya Vodacom katika ziara ya kujifunza shughuli za kampuni hiyo. Katikati ni Meneja wa Mahusiano ya Nje wa Vodacom Salum Mwalim.
 Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia January Makamba akizungumza na watendaji wakuu wa kampuni ya Vodacom (hawapo pichani) wakati alipotembelea makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es salaam katika ziara maalum ya kujifunza shughuli za mawasiliano nchini. Kulia na Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza.
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi an Teknolojia January Makamba akikaribishwa makao makuu ya Vodacom Tanzania na Ofisa Mkuu wa Mahusiano na Mauzo kwa Wateja Wakubwa waVodacom Tanzania Mwamvita Makamba. Naibu Waziri Makamba alifanya ziara ya utambulisho Vodacom na kukutana na Uongozi wa kampuni hiyo.
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia January Makamba na Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza wakibadilishana uzoefu kabla ya Naibu Waziri kufanya mazungumzo na watendaji wakuu wa Vodacom Tanzania alipofanya ziara ya utambulisho makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages