GRAND MALT YAPANDA MITI 30 KATIKA KITIVO CHA ELIMU CHA CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM) ASUBUHI YA LEO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

GRAND MALT YAPANDA MITI 30 KATIKA KITIVO CHA ELIMU CHA CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM) ASUBUHI YA LEO

Meneja Wa Kinywaji Kisicho Na Kilevi Cha Grand Malt Bi Consolata Adam akipanda Moja ya Miti hiyo katika Kitivo Cha Elimu Cha Chuo Kikuu Cha Dodoma(UDOM) asubuhi ya leo.Zoezi la Upandaji Miti La Grand Malt lilikwenda Sambamba na Zoezi la Uzinduzi wa Excel With Grand Malt Ambapo Itashirikisha Vyuo Viwili UDOM na CBE vyote vikitokea Mkoa Wa Dodoma
Mmoja wa Wanafunzi Wa Kitivo Cha Elimu Cha Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) Anne Sango akipanda moja ya Miti iliyotolewa na Grand Malt katika Kitivo hiko Cha elimu cha Chuo Kikuu Cha Dodoma(UDOM) asubuhi ya Leo
Mmoja wa wanafunzi wa Kitivo Cha Elimu Cha Chuo Kikuu Cha Dodoma(UDOM) akipanda mti katika zoezi la upandaji miti lililofanya na Grand Malt asubuhi ya leo Chuoni Hapo
Mmoja wa Wafanyakazi wa Grand Malt Mkoani Dodoma akiweka miche ya Miti tayari kwa Kupanda katika Kitivo Cha Elimu Cha Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) asubuhi ya Leo
 Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania kanda ya Kati Bwana Nick Tesha alipokua akitoa shukrani kwa wanafunzi wakitivo cha elimu Cha Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) kwa kujitokeza katika Zoezi la Kupanda kwa malengo ya kutunza mazingira.Zoezi hilo lilifanyika asubuhi ya leo katika kitivo cha Elimu Cha Chuo Kikuu Cha Dodoma.
Meneja wa Kinywaji Cha Grand Malt Bi Consolata Adam (Katikati) akinywa kinywaji kisicho na Kilevi Cha Grand Malt Mara baada ya Zoezi la Upandaji Miti Kumalizika katika Kitivo Cha Elimu Cha Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) asubuhi ya Leo
 Meneja wa Kinywaji Cha Grand Malt Bi Consolata Adam Akiwa katika Picha ya Pamoja na Baadhi ya Wanafunzi na wafanyakazi wa kampuni ya Bia Tanzania Mkoani Dodoma mara baada ya zoezi la upandaji miti kumalizika katika Kitivo Cha Elimu Cha Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) asubbuhi ya leo
Meneja wa Kinywaji Cha Grand Malt Bi Consolata Adam (katikati) akisikiliza maelekezo kutoka kwa Waziri wa Habari wa Kitivo Cha Elimu Cha Chuo Kikuu Cha Dodoma Mh Rajabu P juu ya Zoezi la Upandaji miti iliyopandwa na Klabu ya mazingira ya Kitivo hiko cha Elimu asubuhi ya leo

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages