Uwanja wa furahisha Mwanza wananchi wa kirumba kwa maelfu wakisubiri
kutangaziwa ushindi wa diwani baada ya kuishinda CCMM polisi na magari
yao kwa wingi muda mfupi uliopita.Picha Na Mdau Wa Lukaza Blog Kirumba Mwanza
Taarifa zilizotufikia hivi sasa kutoka katika chanzo chetu kinasema kuwa katika Uchaguzi wa Udiwani kata ya Kirumba Mwanza Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kinaongoza kwa kupata kura 2938 za kura zote zilizopigwa huku wapinzani wao Wa Jadi CCM wakipata Kura 2131. Kwa Kura hizo Basi CHADEMA inaweza kushinda nafasi hiyo ya Udiwani
Na kutoka Mjini Songea vilevile CHADEMA iweza kushinda nafasi hiyo ya Udiwani japokua hatukupata idadi ya Kura ambazo kila chama imepata.






No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)