Wanafunzi Wa UDOM wakiwa kwenye foleni tayari kwenda kusaini Pesa ya Kujikimu Asubuhi.Zoezi ambalo lilianza mapema Jumamosi iliyopita.
Haya sasa Wanafunzi wa Udom Hao wakiwa kwenye foleni tayari kwa kusaini boom.
Wengine wakiwa kwenye foleni huku wengine wakiwa katika majadiliano mazito kuhusu boom.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)