
Rais
Kikwete akiwapungia mkono watu mbalimbali wakiwemo viongozi mbalimbali
wa Serikali mkoa wa Iringa (hawapo pichani) waliofika kumpokea mara
baada ya kuwasili leo mchana kwenye uwanja wa ndege wa Nduli.Rais
Kikwete amewasili leo kwa ajili ya kufunga maadhimisho ya wiki ya maji
Kitaifa iyanayofanyika katika uwanja wa Samora mkoani Iringa
Rais Kikwete akivalishwa skafu na vijana wa skauti,shoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dr Christina Ishengoma
Rais Kikwete akisalimiana na viongozi wa kamati na Ulinzi
Rais
Kikwete akisalimiana na Kamanda wa UVCCM mkoa wa Iringa ambaye pia ni
Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya ASAS, Salim ‘Asas’ Abri muda mfupi
baada ya kuwasili mjini Iringa.
Picha Kwa Hisani ya Jiachie Blog
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)