TASWIRA ZA RAISI KIKWETE ALIPOWASILI MKOANI IRINGA KUFUNGA WIKI YA MAJI KITAIFA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

TASWIRA ZA RAISI KIKWETE ALIPOWASILI MKOANI IRINGA KUFUNGA WIKI YA MAJI KITAIFA


Rais Kikwete akiwapungia mkono watu mbalimbali wakiwemo viongozi mbalimbali wa Serikali mkoa wa Iringa (hawapo pichani) waliofika kumpokea mara baada ya kuwasili leo mchana kwenye uwanja wa ndege wa Nduli.Rais Kikwete amewasili leo kwa ajili ya kufunga maadhimisho ya wiki ya maji Kitaifa iyanayofanyika katika uwanja wa Samora mkoani Iringa
 Rais Kikwete akivalishwa skafu na vijana wa skauti,shoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dr Christina Ishengoma
 Rais Kikwete akisalimiana na viongozi wa kamati na Ulinzi 
Rais Kikwete akisalimiana na Kamanda wa UVCCM mkoa wa Iringa ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya ASAS, Salim ‘Asas’ Abri muda mfupi baada ya kuwasili mjini Iringa. 
































Picha Kwa Hisani ya Jiachie Blog

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages