NAFASI KWA WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA TANO MWAKA 2012 - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

NAFASI KWA WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA TANO MWAKA 2012


Majina ya wanafunzi waliochaguliwa kuingia kidato cha tano na Chuo cha Usimamizi wa Maji kwa mwaka 2012 yametangazwa na Kamishna wa Elimu ya Sekondari. Pamoja na majina hayo, ripoti pamoja na uchambuzi wa matokeo ya mitihani ya kidato cha nne kwa mwaka 2011 imetolewa. 

icon Wanafunzi waliochaguliwa kuingia kidato cha tano na Chuo cha   Usimamizi wa Maji 2012- Wavulana
icon Wanafunzi waliochaguliwa kuingia kidato cha tano na Chuo cha Usimamizi wa Maji 2012- Wasichana

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages