Mshindi
wa tatu wa shindano la kuonja na kutambua ladha ya bia za Kampuni ya
Bia Tanzania (TBL), ambalo liliwashirikisha baadhi waandishi wa habari
Mkoa wa Mwanza, Emmanuel Chacha (kulia) wa ITV na Redio One, akipokea
zawadi yake kwa furaha kutoka kwa Meneja wa kiwanda cha bia, TBL,
Mwanza, Richmond Robert mwishoni mwa wiki.
Mwandishi
wa habari wa Kampuni ya Business Times Ltd, Mwanza Jovin Mihambi
akikabidhiwa zawadi ya ushindi wa pili na Meneja wa kiwanda cha bia (TBL
) Mwanza Richomnd Robert, katika shindano la kuonja na kutambua ladha
ya bia.
Emmanuel Chacha wa ITV/ Redio Oneakifanya vitu vyake kwenye shindano la kuonja bia na kutambua ladha ya aina ya bia
Waandishi
wa habari Mkoa wa Mwanza, wakishindana kuonja na kutambua ladha ya bia
mwishoni mwa wiki katika Kiwanda cha Bia cha Kampuni ya Bia Tanzania
(TBL) cha Mwanza. Kutoka kulia ni Emmanuel Chacha wa ITV/ Redio One ,
Hellen Kabambo wa gazeti la Changamoto.
Waandishi
wa habari wakimsikiliza Afisa Ubora wa Bia( TBL ) Jeremiah Kmammbi
kuhusu bia inavyohifadhiwa .Waandishi walitembelea kiwanda hicho cha bia
mwanza kabla ya kushiriki shindano la kuonja bia na kutambua ladha ya
aina ya bia.
Waandishi
walioshinda shindano la kuonja na kutambua ladha ya bia wakiwa katika
picha ya pamoja baada ya kukabidhiwa zawadi zao. Kutoka kushoto ni
Meneja wa kiwanda cha Bia (TBL) Mwanza, Richomd Robert,, Jovin Mihambi
wa Business Times, Jacquline Wanna wa gazeti la Kasi Mpya amnbaye
alishika nafasi ya kwanza sawa na Henry Kavirondo , Emmanuel Chacha wa
ITV na Redio One (katikatia), mshindi wa kwanza Henry Kavirondo wa
Chanel Ten na Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa TBL, Editha Mushi.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)