Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Seif Sharif Hamad akimkabidhi zawadi mmoja kati ya watoto yatima waliofanya vizuri katika masomo yao - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Seif Sharif Hamad akimkabidhi zawadi mmoja kati ya watoto yatima waliofanya vizuri katika masomo yao

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Seif Sharif Hamad akimkabidhi zawadi mmoja kati ya watoto yatima waliofanya vizuri katika masomo yao ya maandalizi, Warda Ramadhan Mgeni, katika maadhimisho ya Siku ya Watoto Yatima yaliyofanyika katika Kijiji cha Kiwengwa Mkoa wa Kaskazini Unguja mwishoni mwa wiki. (Na Mpigapicha Maalumu).

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages