Rais Jakaya Kikwete akizungumza na vyombo vya habari muda mfupi baada ya kufungua Mkutano wa mawaziri wa kilimo kutoka nchi saba za Afrika, Dar es Salaam jana - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Rais Jakaya Kikwete akizungumza na vyombo vya habari muda mfupi baada ya kufungua Mkutano wa mawaziri wa kilimo kutoka nchi saba za Afrika, Dar es Salaam jana

Rais Jakaya Kikwete akizungumza na vyombo vya habari muda mfupi baada ya kufungua Mkutano wa mawaziri wa kilimo kutoka nchi saba za Afrika, Dar es Salaam jana, ili kuweka maazimio yatakayojadiliwa katika mkutano wa nchi zenye uchumi imara, G8 na mkutano wa uchumi wa Afrika. Mkutano wa G8 unatarajia kufanyikia Chicago nchini Marekani katikati ya mwaka huu.(Picha na Mohamed Mambo)

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages