Spika
wa Bunge Mhe. Anne Makinda (Mb) akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa
marehemu Mhe. Jeremia Sumari baada ya ibada ya kumuaga iliyofanyika
katika kanisa la Kiinjiri la Kilutheri la Msasani Jijini Dar es salaam
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Jakaya Kikwete akiwa pamoja
na Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda (Mb) na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe.
Mohamed Chande Othman wakati wa kuaga mwili wa Marehemu Jeremiah Sumari
katika Viwanja vya mnazi mmoja leo. Mhe. Sumari alifariki tarehe 18
Januari, 2012 katika hospitali ya Muhimbili
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)