Mabilioni ya Dk Shika Yatua Dar Es Salaam - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Mabilioni ya Dk Shika Yatua Dar Es Salaam



Hatimae Sehemu ya Mabilioni na Matofali ya Dhahabu ya Dkt Shika Yatua Dar Es Salaam Akiongea na mwandishi wa habari za mtandaoni amesema Kabla mvua haijanyesha tone la kwanza limeshatua Dar huku akikiri kuwa Amepokea Kiasi cha Dola za Kimarekani Milioni 60 Huku mzigo huo ukipokelewa na kusindikizwa na Kampuni ya Ulinzi ya Kiwango.

Mara baada ya Mzigo huo kupokelewa na Kampuni ya Ulinzi ya Kiwango katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwl Julius Nyerere ulipaswa kupelekwa katika Tawi la Benki ya Ecobank lililopo PSPF tower mtaa wa Sokoine Drive lakini mzigo huo ukapelekwa kwanza Benki kuu ya Tanzania kwaajili ya kukaguliwa na  kujiridhisha na baada ya hapo Mzigo ukapelekwa pia Makao Makuu ya Benki ya Ecobank iliyopo Kinondoni kwaajili ya Kujiridhisha mara baada ya Makao makuu ya Ecobank Tanzania kujiridhisha ndipo mzigo ukaruhusiwa kupelekwa Katika tawi la Ecobank PSPF Tower. Baada ya Dkt Shika Kulipa malipo yajulikanayo kama IMF ndipo ataruhusiwa Kutoa fedha zake kwaajili ya Matumizi.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages