Idara ya hekaheka ya Leo Tena Clouds yafanyika Duka jipya la Tigo Mwanza - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Idara ya hekaheka ya Leo Tena Clouds yafanyika Duka jipya la Tigo Mwanza

Mtangazaji wa kipindi cha Leo Tena cha Clouds fm, Geah Habib akiendesha kipindi chake ndani ya duka jipya la Tigo mkoani Mwanza hii leo. Hii ni sehemu ya shamrashamra za msimu wa Tigo fiesta 2017.

Mtangazaji wa kipindi cha Leo Tena cha Clouds fm, Geah Habib akiendesha kipindi chake ndani ya duka jipya la Tigo mkoani Mwanza hii leo. Hii ni sehemu ya shamrashamra za msimu wa Tigo fiesta 2017.
Wafanyakazi wa Tigo wakiendelea kutoa Huduma 

Msimamizi wa duka la Tigo Barbara ya Nyerere mkoani Mwanza, Neema Mossama akizungumzia jinsi gani wateja wa Tigo wataweza kunufaika na huduma zao ndani ya msimu huu wa Tigo fiesta.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages