
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
Antonio Manuel Olveira Guterres wakati alipokuwa kwenye mojawapo ya vikao vya
Umoja wa Afrika (AU) vinavyofanyika katika Makao makuu yake mjini Addis Ababa
nchini Ethipia. Kulia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika
Mashariki Balozi Augustine Mahiga.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo
na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta wakati alipokuwa kwenye mojawapo ya vikao vya
Umoja wa Afrika (AU) vinavyofanyika katika Makao makuu yake mjini Addis Ababa
nchini Ethipia. PICHA NA IKULU





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)