



Meneja Mauzo wa TBL Group, Patrick Swai, akifafanua jambo kwa wafanyabiashara wa mkoa wa Dar es Salaam, ambao ni wauzaji wa vinywaji vinavyozalishwa na TBL Group ,wakati wa semina ya mpango wa uendelezaji wa wafanyabiashara wadogowadogo (Retailer Development Programe) iliyofanyika katika ukumbi wa Msimbazi Centre jijini Dar es Salaam
Ni Kupitia Retailer Development Programme ya TBL Group
Baadhi ya wafanyabiashara wa mkoa wa Dar es Salaam ambao ni wauzaji wa vinywaji vinavyozalishwa na TBL Group wakimsikiliza kwa makini mkufunzi wa wa utoaji wa huduma za ushauri ,mafunzo na uendelezaji wa biashara wa kampuni ya TAPBDS ,Joseph Migunda,(kushoto) wakati wa semina ya mpango wa uendelezaji wa wafanyabiashara wadogowadogo (Retailer Development Program) iliyoandaliwa na TBL Group na kufanyika katika ukumbi wa Msimbazi Centre jijini Dar es Salaam .
aadhi ya wafanyabiashara wa mkoa wa Dar es Salaam ambao ni wauzaji wa vinywaji vinavyozalishwa na TBL Group wakiwa kwenye semina ya mpango wa uendelezaji wa wafanyabiashara wadogowadogo (Retailer Development Program) iliyoandaliwa na TBL Group leo Msimbazi Centre jijini Dar es Salaam .
Baadhi ya wafanyabishara wa mkoa wa Dar es Salaam, wakiwa kwenye semina ya mpango wa uendelezaji wa wafanyabiashara wadogowadogo (Retailer Development Program) iliyoandaliwa na TBL Group leo Msimbazi Centre jijini Dar es Salaam .
Mmoja wa wafanyabiashara ya vinywaji vinavyozalishwa na TBL Group, akiuliza swali wakati wa semina ya mpango wa uendelezaji wa wafanyabiashara wadogowadogo (Retailer Development Program) iliyoandaliwa na TBL Group na kufanyika katika ukumbi wa Msimbazi Centre jijini Dar es Slaam .
Washiriki wa semina ya mpango wa uendelezaji wa wafanyabiashara wadogowadogo (Retailer Development Program) wanaouza vinywaji vinavyozalishwa na TBL Group wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati wa semina hiyo iliyoandaliwa na TBL Group na kufanyika ukumbi wa Msimbazi Centre jijini Dar es Salaam .

No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)