NEWZ ALERT: KESI YA SCORPION YAHAMISHIWA MAHAKAMA KUU - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

NEWZ ALERT: KESI YA SCORPION YAHAMISHIWA MAHAKAMA KUU


Mtuhumiwa Salum Henjewele almaarufu kwa jina la Scopion (mwenye kanzu) akitoka katika viunga vya mahakamani Ilala leo. 

Shauri la kesi ya jinai inayomkabili mtuhumiwa Salum Njwete almaarufu kwa jina la Scorpion,limeondolewa katika mahakama ya wilaya ya Ilala na
kuhamishiwa katika Mahakama kuu jijini Dar es Salaam, kutokana na ombi l
ililowasilishwa katika mahakama hiyo na wakili upande wa
Mashtaka Munde Kalombora, na Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo Mhe. Adelf Sachore na kuridhia.


TAARIFA ZAIDI TUTAWALETEA.Crdt Michuzi Blog

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages