
Baraza la tiba Asili na tiba mbadala limemfutia usajili tabibu JUMA MWAKA maarufu kama Dokta mwaka wa kituo cha FOREPLAN CLINIC huku likimsimamisha tabibu simon rusigwa wa kituo cha sigwa herbal clinic kwa kipindi cha miezi sita kwa kukiuka taratibu za utoaji wa huduma hizo.
Taarifa kamili inakuijia hivi punde





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)