Siku ya mtoto wa afrika ilivyofana katika Viwanja vya Jakaya Kikwete youth park - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Siku ya mtoto wa afrika ilivyofana katika Viwanja vya Jakaya Kikwete youth park

 WATOTO WAKIANGALIA MPIRA
  WATOTO WAKIANGALIA MPIRA
 Meneja wa Huduma za jamii wa Tigo , Woinde Shishael Akizungumza na waandishi wa habari
 Meneja wa Huduma za jamii wa Tigo , Woinde Shishael akikabidhi hundi ya mfano ya dola 12,000/ kwa Mtendaji mkuu wa Csema , Kiiga Joel, wakati wa sherehe za siku ya mtoto wa Afrika katika Viwanja vya Jakaya Kikwete Youth ark
 Bahadhi ya watoto wakiwa uwanjani
  Maxence M. Melo wa Jamii Forum akiwa katika picha na Mtendaji mkuu wa Csema , Kiiga Joel
 watoto katika michezo mbalimbali
 Watoto katika picha ya Pamoja
  Maxence M. Melo wa Jamii Forum akiwa katika picha na Mtendaji mkuu wa Csema , Kiiga Joel
Mmoja ya watoto  wakiwa katika michezo

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages