

Baadhi ya magari ya wafanyakazi yakioshwa kwa ajili ya kuchangia mradi wa elimu
Kampuni ya TBL Group imeunga mkono mradi wa kuendeleza elimu jijini Dar es Salaam ambapo mwishoni mwa wiki imewanunulia tiketi wafanyakazi wake ili waoshe magari yao ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za Rotary Club ya Mikocheni kuchangia fedha za kununua vitabu vya maabara ya shule ya msingi Mkunguni iliyopo Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Uoshaji wa magari ni moja ya njia iliyotumika kuchangia mradi huo ambapo walionunua tiketi hizo za mchango walipata fursa ya kuoshewa magari yao katika gereji ya Auto experts Tanzania iliyopo jijini.
Mchango wafanyika kupitia wafanyakazi wake kuoshewa magari yao





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)