
Prince Abuu Levy ni Mwimbaji wa Muziki wa Injili nchini Tanzania, mwenye karama kubwa ya uimbaji hususani uimbaji wa kusifu na kuabudu. Kupitia karama hiyo, anao ujumbe murua kwa ajili yako mwana Mungu kupitia wimbo uliobeba jina la albamu yake uitwao NAKUABUDU.
Ameiambiwa Binagi Blog kwamba "Dvd za Albamu yangu iitwayo Nakuabudu zinapatikana kwa shilingi 5,000 kote nchini ambapo albamu yangu ina nyimbo tano na inasambazwa na Pal Music Service ambao wanapatikana kwa mawasiliano ya simu 0754 742 181 au Email palmusicservice@gmail.com".
Pakua HAPA Wimbo Uliobeba Albamu au Bonyeza Play Hapa Chini Kusikiliza.
Na George Binagi-GB Pazzo




No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)