FILAMU YA DIGITAL PASTOR KUWA MTAANI JUMATATU - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

FILAMU YA DIGITAL PASTOR KUWA MTAANI JUMATATU

luf
Digital Pastor ni filamu kali ya Kitanzania ambayo itakua mtaani nchi nzima kuanzia Tar. 7 mwezi Machi jumatatu , ni DIGITAL PASTOR haijawahi tokea sanamu kuongea mti kuongea yote hayo yamo kwenye DIGITAL PASTOR imetengenezwa na kampuni ya kutengeneza filamu ya Lufedha Film Co humo wamo washiriki kama Beni Branco. mchekeshaji maarufu Senga. Salehe Lufedha. Modesti Bafite. nawengine wengi filamu hiyo ya DIGITAL PASTOR.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages