BASI LA NATA RAHA LAPATA AJALI BUNDA LEO ASUBUHI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

BASI LA NATA RAHA LAPATA AJALI BUNDA LEO ASUBUHI

 Watu wanne wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa wajeruhiwa leo asubuhi baada ya basi la Nata Raha toka Serengeti kuacha njia na kugonga nguzo eneo la Kwa Sabato, Bunda. Mganga Mkuu Nicholas Machochota athibitisha kutokea kwa vifo hivyo, pia majeruhi wamepelekwa katika hospitali ya Bungando kwa matibabu zaidi.


ENDELEA KUTUFUATILIA KWA TAARIFA ZAIDI

CHANZO: ITV TANZANIA

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages