
Co- founder wa Pop Up Bongo Natasha Stambuli akionesha bidhaa za duka lake la Secret Habit ambalo nalo lilionesha bidhaa zake siku hiyo.


Andrew Mahiga na rafiki ake walikuwapo

Mbunifu wa mavazi nchini wa lebo ya Branoz Collection, Bahati Kombe (katikati) akipanga bidhaa zake wakati wa Tamasha la Pop Up Bongo lililofanyika juzi Triniti Oyster bay chini ya udhamini wa kinywaji cha Smirnoff.
Meneja chapa (pombe kali) wa kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) Shomari Shija, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)
Wauzaji wa bidhaa mbalimbali kutoka duka la Beauty Haven wakiwa kwenye banda lao wakati wa Tamasha la Po Up Bongo lililofanyika juzi Triniti Oyster bay chini ya udhamini wa kinywaji cha Smirnoff
Tanya akiwa na wadau mbalimbali waliojitokeza kwenye Pop Up shop
Atu Mynah akimtaja mshindi wa bahati nasibu siku hiyo
Kutokea banda la Beauty Heaven kulikuwa na bidhaa mbalimbali pia
Natasha akizungumza na mmoja kati ya washiriki waliojitokeza kuonesha bidhaa siku hiyo






No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)