#UchaguziTZ2015: Zoezi la kupiga kura laendelea vyema kabisa huku hali ikiwa shwari Kabisa katika Kituo cha Kupigia Kura cha Segerea Magereza, - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

#UchaguziTZ2015: Zoezi la kupiga kura laendelea vyema kabisa huku hali ikiwa shwari Kabisa katika Kituo cha Kupigia Kura cha Segerea Magereza,

 Wakazi wa Segerea wakiwa katika foleni kwaajili ya kuendelea na zoezi la kupiga kura katika kituo cha Magereza Segerea muda huu huku hali ya usalama ikiwa shwari kabisa
 Foleni ikiwa bado ndefu huku mwamko ukiwa mkubwa kwa rika zote kuanzia vijana na wakina mama na baba zoezi linaendelea vizuri mpaka sasa
 Mdau wenu mimi nikiwa katika foleni ya kupiga kura katika kituo changu cha Magereza segerea kwaajili ya kupiga kura kumchagua kiongozi atakayenifaa
Picha zote na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages