#UchaguziTZ2015:Kituo cha Buguruni Shule wakazi wengi wajitokeza kupiga kura - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

#UchaguziTZ2015:Kituo cha Buguruni Shule wakazi wengi wajitokeza kupiga kura

 Wakazi wa jimbo la Segerea Wilaya ya Ilala eneo la Buguruni Shule wakiwa katika foleni kwaajili ya kupiga kura ya kuchagua viongozi wawapendao huku hali ya usalama ikiwa shwari kabisa na bila kuwa na kiashiria chochote cha uvunjifu wa amani
 Zoezi la kupiga kura likiendelea katika kituo cha Buguruni Shule
Masanduku ya kupigia kura kama yanavyoonekana . Photo Courtesy by 

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages