Msanii Nyasa Boy kutoka Rock City Mwanza
Na:George Binagi-GB Pazzo
Nyasa Boy ni Msanii wa Kizazi kipya kutoka Jijini Mwanza ambae anachipukia vizuri sana.
Katika audio ya wimbo huu unaoitwa Chongoroa, Nyasa Boy amewashirikisha Wasanii Mc.Darada pamoja na D'Maladha wote pia kutoka Jijini Mwanza.
BONYEZA PLAY HAPA CHINI KUTAZAMA





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)