KINGUNGE ATOWA YA MOYONI KUHUSU MCHAKATO WA KUMPATA MGOMBEA URAIS ULIOFANYIKA HIVI KARIBUNI MJINI DODOMA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

KINGUNGE ATOWA YA MOYONI KUHUSU MCHAKATO WA KUMPATA MGOMBEA URAIS ULIOFANYIKA HIVI KARIBUNI MJINI DODOMA

 Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kingunge Ngombale,Mwilu (kushoto)  akizungumza katika mkutano  na waandishi wa habari Dar es Salaam leo.Kulia ni Msaidizi Mkuu wa Ngombale, Mwilu
Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kingunge Ngombale,Mwilu (kushoto)  akizungumza katika mkutano  na waandishi wa habari Dar es Salaam leo  ,Kuhusu mkutano mkuu wa  chama hicho uliofayika Dodoma hivi karibuni na  mchakato wa kumpata mgombea Urais na  changamoto zilizojitokeza (PICHA  ZOTE  NA KHAMISI MUSSA)

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages