Ofisa Mradi wa Malaria Safe Program, Nicholas Nderungo (kushoto) akizungumza jambo na Ofisa Habari wa TTCL, Edwin Mashasi (kulia) muda mfupi kabla ya kampuni ya TTCL kukabidhi msaada wa vyandarua 50 ikiwa ni jitihada za kushiriki mapambano ya ugonjwa wa malaria juzi.
-





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)