News Alert: Ewura yatangaza kushuka kwa bei ya Umeme kwa Kiasi cha Sh 3. - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

demo-image

News Alert: Ewura yatangaza kushuka kwa bei ya Umeme kwa Kiasi cha Sh 3.

logo+ewura
Mamlaka ya udhibiti wa Nishati na Maji EWURA imetangaza kushusha bei ya umeme toka Sh. 306 hadi 298 kwa uniti sawa na punguzo la shilingi 8 kwa watumiaji wa kawaida.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Pages