WAZIRI MKUU AMPOKEA MAKAMU WA RAIS WA CHINA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

WAZIRI MKUU AMPOKEA MAKAMU WA RAIS WA CHINA

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akiongozana na Makamu wa rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Li Yuanchao baada ya mgeni huyo kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Arusha Juni 21, 2014 kwa ziara ya kikazi nchini.
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akiongozana na Makamu wa rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Li Yuanchao baada ya mgeni huyo kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Arusha Juni 21, 2014 kwa ziara ya kikazi nchini. Kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utawala Bora, Capt.George Mkuchika.
Waziri Mkuu, Mizego Pinda akizungumza na Makamu wa Rais wa China , Li Yuanchao baada ya mgeni huyo kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Arusha Juni 21, 2014 kwa ziara ya kikazi nchini.
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akizungumza na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Li Yuanchao baada ya mgeni huyo kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Arusha Juni 21, 2014 kwa ziara ya kikazi nchini. Kulia ni Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Rais, Utawala Bora, Capt. George Mkuchika. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages