GARI LATUMBUKIA MTARONI MUDA MFUPI ULIOPITA AMANA, ILALA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

GARI LATUMBUKIA MTARONI MUDA MFUPI ULIOPITA AMANA, ILALA

 Gari aina ya Rav 4 ikiwa imetumbukia mtaroni katika eneo la Ilala Amana, Barabara ya Uhuru na kupelekea kuharibika.Hakuna taarifa ya majeruhi wala aliyepoteza maisha ambayo tumeweza kuipata katika eneo hilo la tukio
Gari likiwa mtaroni.Picha na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages