Bango lililopo kwenye ofisi za redio ya Rasi Fm zilizopo Mkoani Dodoma
Muigizaji Maarufu wa Filamu za Kitanzania, Single Mtambalike aka Rich Rich akiwa ndani ya studio za Rasi FM zilizopo Mjini Dodoma wakati wasanii hao walipotembelea redio hiyo hapo jana kwaajili ya kujionea kazi zinazofanywa na kituoo hiko cha Redio cha Rasi Fm ambacho kinapatikana kwenye masafa ya 103.7 FM katika kanda ya Kati.
Yvonne Cherry Almaarufu Kama Monalisa akiwa ndani ya Studio za Rasi Fm wakati alipotembelea studio za Rasi FM zilizopo Mjini Dodoma
Kalala Junior akiwa katika picha ya pamoja na Mmoja wa wafanyakazi wa Kituo hicho cha Redio cha Rasi FM kinachopatikana katika masafa ya 103.7 Fm na redio hiyo inapatikana kanda ya kati
Kupa akiwa katika studio hiyo ya Rasi FM wakati walipotembelea kituo hiko hapo jana
Wakiwa katika Picha ya Pamoja na Baadhi ya wafanyakazi wa kituo hiko cha RASI FM 103.7 FM mara baada ya kumaliza mahojiano wakati walipotembelea kituo hiko cha redio hapo jana





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)