Msanii Sam wa Ukweli akipozi kwa picha na Msanii Lina Sanga.
Msanii Sam wa Ukweli akifanya vitu vyake katika mkutano huo.
Msanii Sam wa Ukweli akifanya vitu vyake katika mkutano huo.
Mgombea ubunge wa jimbo la Chalinze kupitia Chama cha mapinduzi CCM Ndugu Ridhiwani Kikwete akifungua shina la wakereketwa la Magwila kata ya Bwilingu.
Watoto wakipakiana kwenye baiskeli katika maeneo ya Chalinze mjini.
Umati wa watu waliohudhuria katika mkutano huo
Umati wa watu waliohudhuria katika mkutano huo wakimsikiliza mgombea ubunge wa jimbo la Chalinze Bw. Rhidhiwani Kikwete.
-





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)