KIBAKA ADHIBITIWA VIZURI NA RAIA WA CHINA KATIKA MTAA WA SAMORA JIJINI DAR JANA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

KIBAKA ADHIBITIWA VIZURI NA RAIA WA CHINA KATIKA MTAA WA SAMORA JIJINI DAR JANA

IMG_7322Kibaka mmoja jina lake halikufahamika mara moja alijikuta mikononi mwa mchina na kuwa mpole kama mbwa na chatu baada ya kunaswa akitaka kukwapua pochi kwenye kibegi chake kidogo, Mchina huyo ambaye naye hakutaka kutaja jina lake  inasadikiwa ni mwanajeshi. alitoa  kichapo saafi  kwa kibaka huyo  huku akimdhibiti kwa asilimia mia moja, Tukio hilo lilitokea jana  maeneo ya mtaa wa Samora karibu na mnara wa askari  jijini Dar es salaam . Mara baada ya mkudhibiti kibaka huyo mchina aliomba msaada kwa wasamaria wema ili wawataarifu polisi na alijitokeza msamaria nwenye shati jeupe katika picha ambaye alionekana kupiga simu polisi ili waje kumchukua kibaka huyo mambo ya mjini hayo.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages