
Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni inapenda kuwaatarifu wanainchi wote wa kinondoni kuwa sasa wanaweza kulipia malipo yote ikiwemo kodi ya majengo na malipo mengine kwa njia zifuatazo.
CRDB BANK
MAX MALIPO
MPESA
TIGO PESA
AIRTEL MONEY
LIPA KODI YAKO KWA WAKATI KWA MAENDELEO YA MANISPAA YETU YA KINONDONI.





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)